Mtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash (50) amefariki Dunia Leo April 20, 2024.
Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).
Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).
Marehemu Gadner amewahi pia kufanya kazi katika kituo cha Redio cha EFM na Kisha kurejea Clouds FM.
Enzi za uhali wake aliwahi kufunga ndoa na Msanii maarufu Judith Wambura a.k.a Lady Jay Dee lakini wawili hao walitengana miaka kadhaa mbele na hawakubahatika kupata mtoto.
Enzi za uhali wake aliwahi kufunga ndoa na Msanii maarufu Judith Wambura a.k.a Lady Jay Dee lakini wawili hao walitengana miaka kadhaa mbele na hawakubahatika kupata mtoto.
Marehemu ameacha mtoto na Mjukuu mmoja.
0 comments:
Post a Comment