Nafasi Ya Matangazo

October 16, 2023









Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw.Ally S.Gugu ameshiriki zoezi la Kliniki ya Ardhi lililoongozwa na Wataalamu kutoka Divisheni ya Uendelezaji wa Makao Makuu ya kuhudumia wananchi kwaajili ya kutatua cahngamoto mbalimbali za Ardhi.

Kliniki ya ardhi imeanza rasmi leo tarehe 16 Oktoba 2023 na inatarajia kuisha tarehe 20 Oktoba 2023 katika Uwanja wa Halmashauri ya Manispaa ya zamani kuanzia saa3:00 Asubuh hadi 1:00 jion.

Kliniki ya Ardhi itahusisha utoaji wa hati,Utoaji wa Elimu ya masuala ya Ardhi Pamoja na ulipaji kodi ya pango la Ardhi.
Posted by MROKI On Monday, October 16, 2023 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo