Nafasi Ya Matangazo

January 20, 2016

Meneja Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) Grace Majige akizungumza na waandishi wa habari kuhusu umuhimu wa wadau wa Yanga kutumia kadi za ATM za Yanga. Mkutano huo na wanahabari ulifanyika kwenye ofisi za benki hiyo tawi la Kariakoo jijini Dar es Salaam, Januari 19, 2016. Wengine pichani kushoto ni Mkuu wa Masoko wa benki hiyo, Omary Kaya, na Afisa Habari na Mawasiliano wa beki hiyo, Timotheo Mwakifulefule.
Posted by MROKI On Wednesday, January 20, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo