Nafasi Ya Matangazo

July 15, 2015

 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akizungumza na Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakati  wa mkutano maalum wa kuwaaga na kuwashukuru  wafanyakazi wenzake.  uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa mukutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais, jijini Dar es Salaam.

Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisoma kadi yake ya kumpongeza kwa uteuzi baada ya kukabidhiwa na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Sazi  Salula (kushoto)  wakati wa mkutano maalum wa kuwashukuru wafanyakazi wenzake uliofanyika leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais, jijini Dar es Salaam. 
 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akizungumza na Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakati  wa mkutano maalum wa kuwaaga na kuwashukuru  wafanyakazi wenzake.  uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa mukutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais, jijini Dar es Salaam.
 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisalimiana na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Sazi Salula, wakati alipokuwa akipokelewa alipowasili Ofisini kwake kwa mara ya kwanza tangu alipoteuliwa kuwa mgombea mwenza. Baada ya kuwasili Ofisini, Samia alikutana na wafanyakazi wenzake na kuwashuku kwa kufanya kazi pamoja kwa muda mrefu hadi kufikia uteuzi huo.
 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisalimiana na wafanyakazi wa Ofisi ya makamu wa Rais, wakati alipowasili Ofisini kwake kwa mara ya kwanza tangu alipoteuliwa kuwa mgombea mwenza. Baada ya kuwasili Ofisini, Samia alikutana na wafanyakazi wenzake na kuwashuku kwa kufanya kazi pamoja kwa muda mrefu hadi kufikia uteuzi huo
 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisalimiana na wafanyakazi wa Ofisi ya makamu wa Rais, wakati alipowasili Ofisini kwake kwa mara ya kwanza tangu alipoteuliwa kuwa mgombea mwenza. Baada ya kuwasili Ofisini, Samia alikutana na wafanyakazi wenzake na kuwashuku kwa kufanya kazi pamoja kwa muda mrefu hadi kufikia uteuzi huo.
 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisalimiana na wafanyakazi wa Ofisi ya makamu wa Rais, wakati alipowasili Ofisini kwake kwa mara ya kwanza tangu alipoteuliwa kuwa mgombea mwenza. Baada ya kuwasili Ofisini, Samia alikutana na wafanyakazi wenzake na kuwashuku kwa kufanya kazi pamoja kwa muda mrefu hadi kufikia uteuzi huo.

Waziri Samia, akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais baada ya kuwasili Ofisimi hapo leo. SOMA ZAIDI HAPA
Posted by MROKI On Wednesday, July 15, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo