Naibu Katibu mkuu Tamisemi ,Kagyabukama E.Kiliba akipata maelezo ya namna Shirika linavyofanya kazi kutoka kwa Afisa Mauzo, Vicent Ngaile katika banda la maonyesho la Shirika la Nyumba la Taifa leo asubuhi kwenye viwanja vya Maonyesho vya Sabasaba (Mwalimu Nyerere) katika maonyesho ya 39 ya biashara ya kimataifa. Anayeshuhudia ni Wilson Sanane.
July 09, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




0 comments:
Post a Comment