Nafasi Ya Matangazo

August 08, 2014

 Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharibu Bilali akikabidhi tuzo ya Ushindi wa kwanza Kitaifa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kwa kuibuka washindi wa jumla katika Kundi la Taasisi za Utafiti na Mafunzo. Anaepokea ni Mkurugenzi Masoko, Mipango na Maendeleo,  wa VETA - Tanzania, Enock Kibendera
Wafanyakazi na wanafunzi wa VETA wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuibuka washindi kitaifa hii leo katika siku kuu ya Nane Nane iliyofanyika viwanja vya Ngongo Mkoani Lindi.
Posted by MROKI On Friday, August 08, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo