Nafasi Ya Matangazo

August 11, 2014

r1
Wafanyakazi wa Kampuni ya Tan Communication Media inayomiliki kituo cha Redio 5 chenye makao yake makuu jijini Arusha, wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Mkuu wa mkoa wa Manyara Erasto Mbwilo na viongozi wa Taso mara baada ya kunyakua  ubingwa katika maonyesho ya kanda ya kaskazini kwa upande wa Sekta ya Mawasiliano na habari katika viwanja vya nane nane Themi jijini A rusha
b
Meneja masojo wa Tan Communication media Bi.Sarah Keiya akiwa na timu yake kutoka Redio 5 wakiwa wamebeba zawadi ya mbolea kwa washindi katika maonyesho hayo ambapo  pia walitoa baskeli mbili
aMtangazaji wa Redio 5 Hilda Kinabo wa kipindi cha mishe mishe akiwa anafurahia kikombe  walichoshinda baada Redio hiyo kushika nafasi ya kwanza katika sekta ya mawasiliano na habari kwa ukanda wa kaskazini

-r3Godfrey Thomas mtangazaji wa kipindi cha Usiku wa Moto akiwa anaendesha baskeli kwaajili ya washindi wa maonyesho hayo

cMohamed ambaye pia ni Dj mkali sana wa Ataun city akishow love na kikombe walichokinyakua katika maonyesho hayo
s1Meneja masoko wa Tan media Bi.Sarah Keiya akiwa na baadhi ya timu yake wakifurahia kikombe katika banda lao la kudumu katika viwanja hivyo vya nane nane jijini Arusha
s2Wafanyakazi wa Redio 5 wakiwa katika nyuso za furaha,nyuma ni washabiki wao waliokuwa wakiwashangilia mara baada ya kushinda katika sekta ya mawasiliano na habari
s5Mtangazaji wa Africa ngomaa Ernest Matundiro kushoto ni Geofrey Stephen wakifanya yao
s6Mtangazaji Mwanaisha Suleiman akiwa ameshikilia kikombe
s7Watoto nao walipata mda wa kuonyesha vipaji vyao….ilikuwa balaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
s8Watatu kushoto ni Mtangazaji maafu Semio Sonyo wa kipindi cha Love cuts kilichompa umaarufu mkubwa kinachoruka jumatatu hadi ijumaa saa nne hadi saba usiku
Posted by MROKI On Monday, August 11, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo