Mkurugenzi Msaidizi wa
Habari, elimu na mawasiliano wa bodi ya mikopo Tanzania, Cosmas Mwaisobwa
akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam
Mkurugenzi Msaidizi wa
Habari, elimu na mawasiliano wa bodi ya mikopo Tanzania, Cosmas Mwaisobwa
akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam jana kuhusiana na masuala ya mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu nchini. Pamoja nae
ni Ofisa Mwandamizi Habari, elimu na mawasiliano, Veneranda Malima.
*********
0 comments:
Post a Comment