Kaimu mkurugenzi wa biashara
na masoko wa shirika la ndege la Air Tanzania, Juma Boma (wa pili
kulia) akipanda ndege mpya aina ya CRJ-200 katika uwanja wa ndege Julius
Nyerere muda mfupi kabla ya kuondoka kwenda uwanja wa ndege wakimataifa
wa Songwe. Shirika hilo limeanza safari zake kwenda Mbeya ambapo
itaruka mara nne kwa wiki.
Kaimu
mkurugenzi wa biashara na masoko wa shirika la ndege la Air Tanzania
(ATCL) Juma Boma akipokea maua kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa ndege
hiyo, muda mfupi baada ya kushuka kwenye ndege yao mpya aina ya CRJ-200
iliyotumika kuzindua
safari za kati ya Dar es Salaam na Songwe. Nyuma yake ni kaimu
mkurugenzi wa ufundi, Patrick Itule. Shirika hilo litakuwa linaruka mara
nne kwa wiki kwenda Mbeya.
0 comments:
Post a Comment