Nafasi Ya Matangazo

January 10, 2014

 Katibu Mkuu wa Chanma cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Dr. Wibroad Slaa  na Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba wakifurahia jambo wakati wa mkutano wa viongozi wa kitaifa wa vyama vya siasa nchini na tume ya Taifa ya Uchaguzi uliofanyika Dar es Salaam jana.

Katibu Mkuu wa Chanma cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Dr. Wibroad Slaa  (kushoto) akiteta jambo na viongozi wa CUF,  Mwenyekiti Prof. Ibrahim Lipumba (katikati) na Naibu Katibu Mkuu, Julius Mtatiro kuhusiana na masuala ya vyama vyao walipokutana Dar es Salaam jana wakati wa mkutano wa viongozi wa kitaifa wa vyama vya siasa nchini na tume ya Taifa ya Uchaguzi uliofanyika.

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) Jaji Mstaafu Damian Libuva akizungumza na viongozi wa kitaifa wa vyama vya upinzani nchini wakati wa mkutano baina ya NEC na vyama hivyo Dar es Salaam jana. Kulia ni Kamishna wa NEC, Prof. Amon Chaligha na Makamu Mwenyekiti Jaji Hamid Mahmoud Hamid.
Posted by MROKI On Friday, January 10, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo