Nafasi Ya Matangazo

August 15, 2013

 Mratibu wa Kongamano la siku moja kwa Wadau wa Habari na Mawasiliano hapa nchini,kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi,Prof. Msafiri Jackson akiwasilisha mada yake iliyohusu Uchafuzi wa Hewa pamoja na kelele,wakati wa Semina ya kuwafundisha Wanahabari namna ya kufikisha habari kwa jamii juu ya maswala ya Usafiri na Mazingira iliyofanyika leo kwenye ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Giraffe,Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
 Mratibu wa Semina ya siku moja kwa Wadau wa Habari na Mawasiliano hapa nchini,kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi,Prof. Msafiri Jackson akiwasilisha mada yake iliyohusu Uchafuzi wa Hewa pamoja na kelele,wakati wa Semina ya kuwafundisha Wanahabari namna ya kufikisha habari kwa jamii juu ya maswala ya Usafiri na Mazingira katika mtandao wa Kisayansi na Teknolojia iliyofanyika leo kwenye ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Giraffe,Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
Mwandishi wa habari kutoka EATV,Sophia Mganya akiwasilisha Mada yake wakati wa semina hiyo ya kuwafundisha Wanahabari namna ya kufikisha habari kwa jamii juu ya maswala ya Usafiri na Mazingira katika mtandao wa Kisayansi na Teknolojia liyofanyika leo kwenye ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Giraffe,Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Wadau wa Maswala ya Habari na Mawasiliano wakifatilia mada mbali mbali zilizokuwa zikiwasilishwa kwenye Semina hiyo.
Posted by MROKI On Thursday, August 15, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo