Nafasi Ya Matangazo

December 01, 2012


 Mtangazaji wa Televisheni ya Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC1), Grace Kingarame akiwa amependeza baada ya kufanyiwa mambo katika Saloon ya Centre Point, Mwenge, Dar es Salaam leo, ikiwa ni maandalizi ya kufunga harusi na Mwandishi Mwandamizi wa gazeti la Jambo Leo, Julius Kihampa.


Upambaji ukiendelea
 
 Grace akiwa na mpambe wake

 Grace akiondoka Saloon tayari kwenda kupanda Remousine linaloonekana chini, kwenda kanisani St Albano. Na  KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Posted by MROKI On Saturday, December 01, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo