Nafasi Ya Matangazo

November 29, 2012

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiangalia mfano wa jengo jipya la makao makuu ya Jumuiya hiyo pamoja na maelezo yake baada ya kulifungua rasmi  Novemba 28, 2012 jijini Arusha.
 Mfano wa  jengo la Makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.
 
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete na wakuu wenzie wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja na wadau pamoja na wabunge wa Afrika Mashariki.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki  wakiwa katika chemba ya mikutano ya Bunge la Jumuiya ya Afrika mashariki katika jengo jipya la makao makuu ya Jumuiya  baada ya kulifungua rasmi Novemba 28, 2012 jijini Arusha.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki  wakiwa katika chemba ya mikutano ya Bunge la Jumuiya ya Afrika mashariki katika jengo jipya la makao makuu ya Jumuiya  baada ya kulifungua rasmi Novemba 28, 2012 jijini Arusha. 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakifunua pazia  kufungua rasmi jengo jipya la makao makuu ya Jumuiya  Novemba 28, 2012 jijini Arusha
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki  wakitembelea sehemu mbali mbali za jengo jipya la makao makuu ya Jumuiya  baada ya kulifungua rasmi Novemba 28, 2012 jijini Arusha.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki  wakitembelea sehemu mbali mbali za jengo jipya la makao makuu ya Jumuiya  baada ya kulifungua rasmi Novemba 28, 2012 jijini Arusha. Hapa ni katika chumba cha mahakama ya jumuiya hiyo

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki  wakishuhudia Mwenyekiti wa Jumuiya Rais Mwai Kibaki wa Kenya akizindua rasmi mfumo wa kisasa wa kuunganisha shughuli za ushuru wa forodha kwa njia ya mtandao katika  jengo jipya la makao makuu ya Jumuiya  baada ya kulifungua rasmi Novemba 28, 2012 jijini Arusha
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki  wakishuhudia Mwenyekiti wa Jumuiya Rais Mwai Kibaki wa Kenya akizindua rasmi mfumo wa kisasa wa kuunganisha shughuli za ushuru wa forodha kwa njia ya mtandao katika  jengo jipya la makao makuu ya Jumuiya  baada ya kulifungua rasmi Novemba 28, 2012 jijini Arusha.
Posted by MROKI On Thursday, November 29, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo