Nafasi Ya Matangazo

August 23, 2012




Warembo Redds Miss Mwanza 2012/13 wameanza rasmi kambi yao katika Hoteli ya Isamilo Lodge, ambapo warembo 18 kutoka wilaya zote za Mkoa wa Mwanza, watashiriki shindano hilo, linalotarajiwa kufanyika ijumaa tarehe 31/08/2012 katika uwanja wa Mwanza Yatch Club jijini Mwanza.
Posted by MROKI On Thursday, August 23, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo