Nafasi Ya Matangazo

May 23, 2012

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia January Makamba na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza wakibadilishana uzoefu kabla ya Naibu Waziri kufanya mazungumzo na watendaji wakuu wa Vodacom Tanzania alipofanya ziara ya utambulisho makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es salaam.
Posted by MROKI On Wednesday, May 23, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo