Nafasi Ya Matangazo

April 06, 2012

Maigizo ya Mateso ya Bwana Yesu Kristo yakifanyika katika ibada ya Ijumaa kuu kwenye kanisa la KKKT Azania Front jijini Dar es Salaam.
Maigizo yakiendelea.
Askofu Mkuu wa Kanisa la KKKT,Alex Malasusa akiwa na Mchungaji wa Kanisa la Azania Front
Waumini wa Kanisa la Katoliki la Mt. Joseph jijini Dar es Salaam wakibusu msalaba leo wakati wa ibada ya Ijumaa Kuu.
Waimabaji wea Kwaya Kuu kanisa la KKKT Azania Front.
Waumini wakiwa katika ibada ya Ijumaa Kuu katikia Kanisa la KKKT Usharika wa Azania Front jijini Dar es Salaam leo.Picha na Francis Dande.
Posted by MROKI On Friday, April 06, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo