Nafasi Ya Matangazo

March 18, 2012


Madereva wa Dala dala wakiwa wanateta mambo baadhi juu ya manyanyaso wanayo yapata kutoka kwa Askari hao wa usalama wa bara barani muda mchache ulio pita
Hapa Baadhi ya madereva wakiwa wanaendelea na Kikao chao cha muda maeneo ya Mama John karibia na Kiwila Motel
Baadhi ya wanachi wakiwa wanangojea kuona nini hatima ya Mgomo huo wa madereva muda mchache uliopita
Mgomo ukiwa unaendelea muda mchache ulio pita.
Taarifa na Mbeya Yetu Blog.
Posted by MROKI On Sunday, March 18, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo