Nafasi Ya Matangazo

August 10, 2011

 Warembo 5 kati ya 30 wanaowania taji la Vodacom Miss Tanzania 2011, ambao wamefanikiwa kuingia fainali za kusaka taji la TOP MODEL wakiwa wamejipanga mbele ya majaji baada ya kufanikiwa kuingia katika hatua hiyo usiku wa Agosti 9,2011 katika Hotel ya Giraffe Ocean View jijini Dar es Salaam. Mshindi wa taji la TOP MODEL atajinyakulia tiketi ya moja kwa moja ya kuingia Nusu Fainali ya Vodacom Miss Tanzania 2011.
 Majaji wa shindano hilo wakiumiza vichwa kutafuta mshindi. Warembo wote walikuwa wakati lakini 1 ndo anahitajika. Mshindi wa TOP MODEL anataraji kutangazwa leo katika siku maalum ya Waandishi Wa habari kufanya mahojiano na Washiriki hao wa Vodacom Miss Tanzania katika Hoteli ya Giraffe.
 mambo yalianza hapa...
 Walitisha na kuingia fainali
 kura za majaji hazikutosha kuwapitisha hawa lakini walifanya vyema....
 Huyu alifanikiwa kuingia
 hapa kazi ilikuwepo lakini wa kulia alimwacha mwenzake akiingia fainali..
 ilikuwa ni kupima uwezo wa washiriki wa lkunadi mavazi...
 warembo walitisha sana ...
Baadhi ya warembo wakiwa wameketi baada ya kutangazwa kwa warembo walioingia Fainali. Mshindi atatajwa hapo baade enbdelea kuwa nasi Blogu yenu na tuta wajuza nani kaibuka Kidedea.
Posted by MROKI On Wednesday, August 10, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo