Nafasi Ya Matangazo

August 08, 2011

"Afande IGP mimi naomba nijisalimishe kwako nimekuwa ......" Nikama vile Richard Mwaikenda kutoka Blogu ya Kamanda wa Matukio akiteta jambo na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Inspekta General , Said Mwema hivi karibuni wakati wa uzinduzi wa kitii sheria bila kushurutishwa uliofanyika makao Makuu ya Wizara ya Mambo ya nje.Mwaikenda pia ni Mpigapicha wa Jamboleo.
Posted by MROKI On Monday, August 08, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo