Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Amani AbeidKarume,akikata Utepe kama ishara ya Uzinduzi wa Jengo jipya la Baraza laWawkilishi la Zanzibar huko Mbweni Nje ya mji wa Zanzibar,(katikati) SheikhAbdulla Moh'd Al_Youseif na Majid El Sheikh Nurdin Mkurugenzi Mkuu wa Jumuiyaya Al_Youseif Establishment.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Amani AbeidKarume,akikagua ukumbi wa Jengo jipya la Baraza la Wawakilishi liliopo MbweniNje ya Mji wa Zanzibar,Ujenzi wa Jengo ilo umefadhiliwa Jumuiya ya Al_YouseifEstablishment,(kulia) Msimamizi wa Ujenzi Ramadhan Mssa Bakari.
0 comments:
Post a Comment