Nafasi Ya Matangazo

May 25, 2010

Msanii wa kikundi cha sanaa cha mjini Arusha akitoa burudani ya kupita kwenye nondo ikiwa na moto pembeni wakati wa bonanza la uzinduzi wa kinywaji cha Grand Malt kinachotengenezwa na TBL. Bonanza hilo lilifanyika kwenye viwanja vya Genera Tyre mjini Arusha.
Posted by MROKI On Tuesday, May 25, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo