
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na mjumbe mmojawapo wa mkutano mkuu wa UWT wakati akiingia kwenye ukumbi wa kilimani mjini dodoma kufungua rasmi mkutana wa taifa wa jumuia hiyo tarehe 7.1.09

Mwenyekiti wa UWT aliyemaliza muda wake mama Annah Abdallah anahutubia wajumbe wa mkutano huo.
0 comments:
Post a Comment