Nafasi Ya Matangazo

January 09, 2009

Wanenguaji wa Bendi ya FM Academia wakilishambulia jukwaa la Club Aventure mjini Moshi wakati bendi hiyo ilipotumbuiza mashabiki na wakazi wa mjini humo. Bendi hii inaelekea Arusha kufanya makamuzi ya aina hii. Mashabiki wakijimwaka na wazee wa Ngasuma
Wahudumu maalum wa bia ya Heineken wakijiandaa kwa shoo yao
Seif Mbonda mpiga tumba wa FM Academia wazee wa Ngasuma akifanya vitu
Hapa ilikuwa kazi kwa wazee wa Heineken kuonyesha ufundi wao
Presidaa Nyoshi El Saadat akiweka mambo yake jukwaani.





Posted by MROKI On Friday, January 09, 2009 2 comments

2 comments:

  1. Warembo wa Heinken walipendeza sana

    ReplyDelete
  2. Kidevu nilitaka picha ya wanaume wa Ngwasuma wakishambulia jukwaa bwana ipo wapi

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo