Mbunge wa Chalinze ameshiriki sherehe za kuwaaga wanafunzi wanaomaliza kidato cha sita katika shule ya sekondari ya Kikaro Miono. Katika sherehe hizo Mh. Mbunge aliwasisitizia wanafunzi hao kuepuka tamaa za dunia kujali masomo kwanza.
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la CHALINZE, Ridhiwani Kikwete akiwatunuku vyeti wahitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari ya Kikaro Miono Mkoani Pwani.
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la CHALINZE, Ridhiwani Kikwete akiwatunuku vyeti wahitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari ya Kikaro Miono Mkoani Pwani.
0 comments:
Post a Comment