Nafasi Ya Matangazo

July 05, 2016

Mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda akipita katika barabara ya mabasi yaendayo kasi katika eneo la Makutano ya barabara ya Bibi Titi Mohamed na Morogoro eneo la Akiba, jijini Dar es Salaam ikiwa ni makosa kupita katika barabara hiyo. Aidha kosa lingine la dereva huyo ni kutovaa kofia ngumu kama sheria ya usalama barabarani.
Mkazi wa Dar es Salaam, akisubiri kuvuka katika barabara ya Morogoro inayotumika na mabasi ya mabasi ya mwendokasi huku kibao cha alama za barabarani kikiwa kimegongea.
Kibao hiki kinahitaji marekebisho ili kiendelee kusaidia kuongoza madereva.
Posted by MROKI On Tuesday, July 05, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo