Nafasi Ya Matangazo

June 06, 2013

Wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) jana walifanya ziara katika ofisi za Makao Makuu ya Mfuko huo kwa lengo la kutembelea ofisi hizo na kuangalia mazingira ya kazi. 

 Wajumbe walioteuliwa hivi karibuni wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi hiyo, Balozi Ali Mchumo, Mwanaidi Mtanda, Ezekiah Oluoch, Donan Mmbando, Mohamed Mohamed, Lydia Choma, Mohamed Hashim, Charles Kajege na Emanuel Humba ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko huo.
 
Wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wakipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti Raphael Mwamoto walipozuru Makao Makuu jana.
Mkurugenzi wa Uendeshaji, Eugen Mikongoti akitoa maelezo ya namna ya kuhifadhi kumbukumbu za wanachama katika kituo cha kisasa cha Mfuko huo.
Wajumbe hao wakipata maelezo kutoka kwa Ofisa wa NHIF namna ya upatikanaji wa haraka wa kumbukumbu za wanachama zinazohifadhiwa katika kituo hicho.
Wajumbe wakiendelea kujifunza zaidi katika kituo cha kuhifadhia kumbukumbu.
Mkurugenzi Mkuu Emanuel Humba (wa nne kulia) akifafanua jambo wakati wa ziara hiyo.
Posted by MROKI On Thursday, June 06, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo