Nafasi Ya Matangazo

October 31, 2012

Bodi ya wakurugenzi ya shirika la Ugavi na Usambazaji Umeme nchini Tanzania (Tanesco) imefikia maamuzi ya kumwachisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo Mhandisi, William Geofrey Mhando kuanzia Oktoba 29, mwaka huu. Taarifa kamili ya kwa Umma kutoka Bodi hiyo hii hapa chini:-
Posted by MROKI On Wednesday, October 31, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo