Kaimu Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii ambaye ni Mkurugenzi Mkuu Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu Bw. Bernard Marcelline akifungua rasmi mkutano mkuu wa tano (5) wa Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha MNRT SACCOS LTD uliofanyika katika ukumbi wa TANAPA leo Oktoba 25,2025 jijini Dodoma. Kushoto ni Mwenyekiti wa MNRT SACCOS LTD, Bw. Wilfred Msemo na kulia ni Afisa Ushirika Jiji la Dodoma, Fred Raymond.
Kaimu Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii ambaye ni Mkurugenzi Mkuu Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu Bw. Bernard Marcelline akifungua rasmi mkutano mkuu wa tano (5) wa Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha MNRT SACCOS LTD katika ukumbi wa TANAPA leo Oktoba 25,2025 jijini Dodoma.Baadhi ya wanachama wa MNRT SACCOS LTD katika hafla ya ufunguzi wa mkutano mkuu wa tano (5) wa Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha MNRT SACCOS LTD kwenye ukumbi wa TANAPA leo Oktoba 25,2025 jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa MNRT SACCOS LTD, Bw. Wilfred Msemo akitoa neno la utangulizi katika hafla ya ufunguzi wa mkutano mkuu wa tano (5) wa Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha MNRT SACCOS LTD kwenye ukumbi wa TANAPA leo Oktoba 25,2025 jijini Dodoma.
Kaimu Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii ambaye ni Mkurugenzi Mkuu Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu Bw. Bernard Marcelline (wa tano kutoka kushoto) katika picha ya Pamoja na viongozi na wanachama wa Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha MNRT SACCOS LTD MNRT mara baada ya kufungua mkutano uliofanyika katika ukumbi wa TANAPA leo Oktoba 25,2025 jijini Dodoma.
******************
Na Mwandishi Wetu- Dodoma



0 comments:
Post a Comment