Nafasi Ya Matangazo

August 09, 2016

Mfanyakazi wa TBL Group Izack Kingara akiwa amepozi kwenye picha wakati akikabidhiwa zawadi yake ya begi la Safari  kutoka kwa  Balozi wa bia hiyo  Getrude Francis wakati wa uzinduzi wa promosheni mpya ya Bia ya Safari Lager kwa wafanyakazi wa kampuni hiyo iliyofanyika katika kiwanda cha Ilala jijini Dar es Salaam.
************
Kampuni ya TBL Group inatarajia kuzindua promosheni kubwa ya kunufaisha wateja wake kupitia bia  yake maarufu  ya Safari Lager.Kabla ya uzunduzi kwa wateja wa nje imezindua  promosheni hiyo kwenye viwanda vyake vilivyopo jijini Dar es Salaam na mikoa mbalimbali ambapo wafanyakazi walifurahia kinywaji hicho wakati huohuo baadhi yao kujishindia zawadi mbalimbali  baada ya namba zao kushinda katika droo ndogo ya ndani ya uzinduzi wa promosheni kwa wafanyakazi.
Mfanyakazi wa TBL Group Deogratias Kapalati akikabidhiwa zawadi yake ya begi la Safari na Balozi wa bia ya Safari, Getrude Francis  wakati wa hafla ya  uzinduzi wa Promosheni mpya    ya Safari kwa wafanyakazi   wa kampuni hiyo  iliyofanyika Ilala jijini Dar es Salaam
Bolozi wabia ya  Safari ,Getrude Francis (kulia) akifurahia  jambo wakati alipokuwa akimkabidhi zawadi ya bia za safari  mfanyakazi wa TBL Group  Calos Kalokozi  wakati wa hafla ya  uzinduzi wa   Ijumaa  ya Safari kwa wafanyakazi   wa kampuni hiyo  iliyofanyika Ilala jijini Dar es Salaam
Dennis Mihanji ambaye ni mfanyakazi wa TBL Group akifurahia zawadi ya begi wakati  akikabidhiwa na balozi wa bia ya Safari , Getrude Francis  wakati wa hafla ya  uzinduzi wa promosheni   ya Safari kwa wafanyakazi   wa kampuni hiyo  iliyofanyika Ilala jijini Dar es Salaam
Balozi wabia ya  Safari Getrude Francis (kulia) akimkabidhi     Dennis Mosha zawadi ya tochi wakati wa hafla ya uzinduzi  wa Ijumaa ya Safari kwa wafanyakazi   wa kampuni hiyo  iliyofanyika Ilala jijini Dar es Salaam
Meneja usalama ,afya na mazingira wa TBL Group Renatus Nyanda,(wa pili kulia) akiwakabidhi zawadi za opena za safari wafanyakazi wa Tbl Group wakati wa Uzinduzi wa  promosheni  ya Safari kwa wafanyakazi wa kampuni hiyo wakati wa hafla wa uzinduzi wa Promosheni mpya ya Safari iliyofanyika Ilala jijini Dar es Salaam.
Posted by MROKI On Tuesday, August 09, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo