Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri
Mkuu,Sera,Bunge ,Ajira Vijana na Walemavu Jenesta Mhagama,(kulia)
akiwapongeza wafanyakazi wa Kampuni ya bia Tanzania walioshinda
kwenye mashindano ya mbio yaliyofanyika kwenye uwanja wa zamani wa Taifa jiini
Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.(kushoto) ni Asmath Busigara na Mercy Maliwa.
Baadhi ya washindi wa
michezo mbalimbali wakiwa kwenye picha ya pamoja na wakiwa
wanafurahia kinywaji cha Grand Malt
Wafanyakazi wa kampuni ya bia
Tanzania ,Asmath Busigara wa kwanza na Mercy Maliwa, wakikimbia mbio wakati wa
michezo iliyowashirikisha wanawake iliyofanyika katika uwanja wa taifa wa
zamani jijini Dar es Salaam ambao waliibuka na ushindi.Maliwa pia alishiriki
mbio za Kilometa 21 kwenye mashindano ya Kili Marathon yaliyofanyika karibuni.
Wafanyakazi wa kampuni ya bia
Tanzania ,Asmath Busigara wa kwanza na Mercy Maliwa, wakikimbia mbio wakati wa
michezo iliyowashirikisha wanawake iliyofanyika katika uwanja wa taifa wa
zamani jijini Dar es Salaam ambao waliibuka na ushindi.Maliwa pia alishiriki
mbio za Kilometa 21 kwenye mashindano ya Kili Marathon yaliyofanyika karibuni.
Baadhi ya wafanyakazi
wanawake wa Kampuni ya TBL Group, wakishiriki katika mazoezi
yaliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa wa zamani jijini Dar es Salaam mwishoni
mwa wiki, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambayo
kilele chake itakuwa Machi 8
Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri
Mkuu,Sera,Bunge ,Ajira Vijana na Walemavu Jenista Mhagama, (wa pili kutoka
kulia) ,akishiriki mazoezi pamoja na wafanyakazi wa Kampuni ya TBL Group,katika
uwanja wa Taifa wa zamani mwishoni mwa wiki,ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya
siku ya wanawake ambayo itafanyika Machi 8
0 comments:
Post a Comment