Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Dkt.Adelhelm Meru, (kushoto) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group ,Roberto Jarrin wakati wa semina ya kujadili masuala ya kodi kwenye sekta ya vinywaji iliyofanyika jana katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kilimo,Maji na Mifugo Dk.Mary Nagu
(kushoto) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group ,Roberto Jarrin wakati wa semina ya kujadili masuala ya kodi kwenye
sekta ya vinywaji iliyofanyika jana katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda,
Biashara na Uwekezaji Dkt.Adelhelm Meru, (kushoto) akizungumza wakati
wa uzinduzi wa semina hiyo ambapo alikuwa mgeni rasmi. Kutoka
kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group ,Roberto Jarrin ,
wa pilia ni Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya bia ya Serengeti Breweries Tanzania
(SBL) Kalpesh Mehta na Mkurugenzi Mkuu wa Heineken Tanzania, Michael Mbungu.
Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group ,Roberto Jarrin akizungumza.
Baadhi ya wadau mbalimbali
waliohudhuria kwenye mkutano wa Alcoholic Drinks and Beer
Sector Taxation Workshop uliofanyika leo katika Ukumbi wa Kimataifa
wa Julius Nyerere Dar es Salaam, wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa
zikitolewa kwenye semina hiyo
Baadhi ya wadau mbalimbali
waliohudhuria kwenye mkutano wa Alcoholic Drinks and Beer
Sector Taxation Workshop uliofanyika leo katika Ukumbi wa Kimataifa
wa Julius Nyerere Dar es Salaam, wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa
zikitolewa kwenye semina hiyo
Baadhi ya wadau mbalimbali
waliohudhuria kwenye mkutano wa Alcoholic Drinks and Beer
Sector Taxation Workshop uliofanyika leo katika Ukumbi wa Kimataifa
wa Julius Nyerere Dar es Salaam, wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa
zikitolewa kwenye semina hiyo
Mkurugenzi Mkuu wa Heineken Tanzania, Michael Mbungu, akifafanua jambo
wakati wa mkutano wa Alcoholic
Drinks and Beer
Sector Taxation Workshop ,uliofanyika jana katika Ukumbi wa Kimataifa wa
Julius Nyerere Dar es Salaam. Wengine kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya bia ya
Serengeti Breweries Tanzania (SBL) Kalpesh Mehta , , Christopher Mgifi kutoka Wizara ya Viwanda, Biashara na
Uwekezaji na
Mkurugenzi Mkuu wa
TBL Group ,Roberto Jarrin
Baadhi ya wadau wakuu walioshiriki katika semina hiyo wakiwa katika
picha ya pamoja
0 comments:
Post a Comment