Nafasi Ya Matangazo

March 08, 2016

Baadhi ya wadau na wapenzi wa filamu wakiwa uwanja wa ndege wakimsubiri kumpokea Mshindi wa Tunzo ya Filamu bora ya Kiswahili Single Mtambalike katika shindano la Africa Magic lililofanyika nchini Nigeria Mwishoni mwa wiki
wapenzi wakisubiri mshindi
Familia ya Single Mtambalike
akipokelewa na familia
Mwakilishi wa Proin Promotions.Josephat Lukaza akiongea na wanahabari kuhusiana na filamu za Proin kunyakua tunzo hizo katika Kinyangiro cha AMVCA2016.Picha Zote na Josephat Lukaza
Posted by MROKI On Tuesday, March 08, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo