Nafasi Ya Matangazo

October 15, 2015

Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akimpongeza mmoja wa wakazi wa Ukonga mara baada kughani shairi lililokuwa likimsifia kuwa ana sifa zote za kuwa Rais wa Tanzania,kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika mapema leo asubuhi kwenye uwanja wa mpira wa Moshi Bara,Ukonga jijini Dar
Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akiwahutubia wakazi wa jimbo la Ukonga mapema leo mchana kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa mpira wa Moshi Bara,Dkt Magufuli amemaliza mkutano wake wa kampeni jimbo la Kisarawe,Ukonga na baadae anatarajia kuhutubia mkutano wa Kampeni Pemba na Unguja.
 Wakazi wa Ukonga wakishangilia kwenye mkutano huo wa kampeni.
Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akiwahutubia wakazi wa jimbo la Ukonga mapema leo mchana kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa mpira wa Moshi Bara,Dkt Magufuli amemaliza mkutano wake wa kampeni jimbo la Kisarawe,Ukonga na baadae anatarajia kuhutubia mkutano wa Kampeni Pemba na Unguja.
 Wakazi wa Ukonga wakifuatilia mkutano wa kampeni wa Dkt John Pombe uliofanyika leo mchana kwenye uwanja wa mpira Moshi bar.
Posted by MROKI On Thursday, October 15, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo