Nafasi Ya Matangazo

May 26, 2014

 Kibao kionesha eneo la Hifadhi ya Mazingira ya Asili ya Chome Shengena Wilaya ya Same Mkoa wa Kilimanjaro.
 Meneja wa Usimamizi Endelevu wa Mazingira asilia Chome,William Nambiza akiwaonesha waandishi eneo lilillovamiwa na wachimbaji Madini na baadae walifanikiwa kuwaondoa, kwa siku walikuwa wanaingia zaidi ya 600,000 wakichanganyika na wa nchi jirani.
 Waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari waliofanya ziara ya kuona mazingira ya mto Chome ambalo ni chanzo cha maji yanayokwenda mto Saseni na kutoa maji kwa wakazi wa Same na kumwaga maji Bonde la umwagiliaji Ndungu,Ruvu na Pangani.
  Meneja wa Usimamizi Endelevu wa Mazingira asilia Chome,William Nambiza akiwaonesha waandishimiti waliopanda eneo la machimbo ya madini ya msitu wa Chome.
 Meneja wa Usimamizi Endelevu wa Mazingira asilia Chome,William Nambiza akiwaonesha waandishi eneo lilillovamiwa na wachimbaji Madini na baadae walifanikiwa kuwaondoa, kwa siku walikuwa wanaingia zaidi ya 600,000 wakichanganyika na wa nchi jirani.
 Sehemu ya Msitu wa Chome ambayo ilichomwa Moto na wachimbaji Madini.
 Sehemu ya Msitu wa Chome ulivyonawili.
 Sehemu ya mpaka ya Msitu wa Chome na zilizokuwa na zisizokuwa za Msitu wa Hifadhi upande wa kulia.
 Sehemu ya mpaka wa Msitu.
 Sehemu ya Mto Saseni.
  Sehemu ya Mto Saseni.
Sehemu ya mashamba ya wananchi wanaoishi karibu na mto Saseni.
Posted by MROKI On Monday, May 26, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo