Nafasi Ya Matangazo

January 07, 2014

 Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini kupitia chama hicho, Zitto Zuberi Kabwe (katikati) akiingia Mahakama Kuu jana kusikiliza hukumu ya kesi yake ya kupinga Chadema kumjadili uanachama wake. Zitto Kabwe aliyekuwa akiwakilishwa na Wakili wake Albert Msando ambaye ji Diwani wa Chadema (kushoto kwa Zitto).
 Zitto akiwa ndani ya chemba namba moja ya Mahaka Kuu ambapo hukumu yake ya ushindi ilitolewa.
 Wakili wa Chadema katika kesi hiyo ambaye pia ni Mwanasheria wa chama hicho Tundu Lissu akizungumza na wana habari, kulia kwake ni wanachama wa chama hicho wakijifuta nyuso zao.
Tundu Lissu akiwatuliza wafuasi wa Chadema waliofurika mahakamani hapo jana kusikiliza kesi ya chama chao dhidi ya Zitto Kabwe.
Posted by MROKI On Tuesday, January 07, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo