Nafasi Ya Matangazo

December 24, 2012

Mkurugenzi mtendaji wa Benki ya Exim ya Tanzania Bw. Anthony Grant (kushoto) akimpongeza mishindi wa mashindano ya ulimbwende ya Miss East Africa 2012 Jocelyne Maro, ambaye ni mshiriki kutoka Tanzania, mara tu baada ya kuvishwa taji la ushindi baada ya kuwabwaga warembo 15 waliofika fainali kutoka nchi mbali mbali. Fainali hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa mkutano wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Kulia ni mmoja wa majaji wa mashindano hayo, Bi Ayan Ahmed.
Posted by MROKI On Monday, December 24, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo