Nafasi Ya Matangazo

April 10, 2012

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Wajumbe wa kamati ya Rais ya Mfuko wa Uwezeshaji,wakati wa uzinduzi Kamati hiyo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa kamati ya Rais ya Mfuko wa Uwezeshaji,baada ya kuizindua rasmi jana Ikulu Mjini Zanzibar.
Posted by MROKI On Tuesday, April 10, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo