

Mkuu wa Wilaya ya Same Bw. Marwa kama mdau mmojawapo wa NHIF, akichangia mawazo juu ya kuboresha huduma za CHF katika Halmashauri za Kilimanjaro katika Mkutano wa Wadau wa NHIF uliofanyika Mjini Moshi.
Naibu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF Bw. Hamis Mdee akitoa maelezo ya Utangulizi juu ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya na Mfuko wa Afya ya Jamii wakati wa Mkutano wa wadau wa NHIF na CHF mjini Moshi.
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya NHIF ambaye pia ni Mhasibu Mkuu wa Serikali Mama Mwanaidi Mtanda akiongea wakati wa Mkutano wa Wadau wa NHIF na CHF Mjini Moshi.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Lawrence Gama akifungua rasmi Mkutano wa Wadau wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) wa Mkoa wa Kilimanjaro uliofanyika jana katika ukumbi wa Uhuru Hotel.







0 comments:
Post a Comment