
Hadi mwisho wa Uchaguzi mwanadada Mwinga Mungwe ndio alichaguliwa kuwa mwenyekiti pamoja na makamo wake Bi.Aisha Machano,nafasi ya ukatibu ilichukuliwa na MacSweney Lupembe na msaidizi wake Kelvin Mwakalindile na nafasi ya mweka hazina ilichukuliwa na Diana Mzirai.
0 comments:
Post a Comment