
"Jamani nimepata mzigo naleta wateja wangu wala msiwe na hofu..." Mawasiliano ni mazuri sana katika biashara maan aunawasiliano na wateja wako ili kujua uwepo wa soko la uhakika siku hiyo, pichani ni mchuuzi wa ndizi jijini Dar es Salaam akiwasiliani na wateja wake baada ya kutoka sokoni.
0 comments:
Post a Comment