Nafasi Ya Matangazo

February 06, 2009

Jengo hili lililopo karibu na mzunguko wa mnara wa Saa Posta Dar es Salaam ni miongoni mwa majengo ya kale ambayo huenda yakatoweka wakati wowote kufuatia uboreshaji wa jiji unaoendelea kwa kasi hivi sasa.
Posted by MROKI On Friday, February 06, 2009 1 comment

1 comment:

  1. Majengo kama haya si ya kuyabomoa ni mazuri na yanahistoria nzuri sana, Yafanyiwe ukarabati mzuri yazidi kupendeza na kuweka historia ya nchi.

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo