
Mchezai wa timu ya JK Ruvu ya mkoani Pwani, Mwinyi Kazimoto akipokea mfano wa Hundi yenyethamani ya sh 600,000/= kwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Januari. Anayemkabidhi ni Meneja Udhamini na Masoko wa Vodacom ambao ndio wadhamini wa ligi kuu ya Tnzania bara , Emillian Rwejuna (kushoto) na kushuhudiwa na Mkurugenzi wa Kamati ya Ufundi ya TFF, Sanday Kayuni.
0 comments:
Post a Comment