
Kikosi cha watoto wa Mchangani (Jangwani) Yanga ya Dar es Salaam amabcho leo kimetinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kagame baada ya kuwalamba Vital'O ya Burundi 2-0 katika uwanja wa zamani wa taifa (shamba la Bibi). Yanga sasa itaikabili Tusker siku ya Ijumaa.
0 comments:
Post a Comment