Nafasi Ya Matangazo

September 26, 2015

MGOMBEA Urais wa Tanzania kwa Tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), anaeungwa mkono na UKAWA, Edward Lowassa akimnadi Mgombea Ubunge wa Chadema, jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema taifa, Freeman Mbowe katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Half London, Hai mkoani Kilimanjaro.
 Mgombea Ubunge wa Hai, na Mwenyekiti wa Chadema taifa, Freeman Mbowe (kulia) akimpokea Mgombea Urais wa chama hicho, Edward Lowassa.
 Freeman Mboye akisaliamana wananchi wa Hai katika eneo la mkutano.
 MGOMBEA Urais wa Tanzania kwa Tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), anaeungwa mkono na UKAWA, Edward Lowassa akihutubia mkutano huo wa hadhara.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwa amembeba Mtoto Sayuni Nassary, mara baada ya Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye uwanja wa Half London, Jimbo la Hai, Mkoani Kilimanjaro leo Septemba 26, 2015. Kushoto ni Mgombea Ubunge wa Jimbo la Hai na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Freeman Mbowe.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa pamoja na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Hai na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Freeman Mbowe, wakiwapungia wananchi wa mji wa Bomang'ombe, Jimbo la Hai, Mkoani Kilimanjaro leo Septemba 26, 2015.
 
Wananchi wakiwa katika mkutano huo.
Posted by MROKI On Saturday, September 26, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo