Meneja Habari, Elimu na Mawasiliano wa TEA, Bi. Sylvia Lupembe akiwasilisha mada kwa wabunge wa kamati ya maendeleo ya Jamii toka Bunge la Namibia namna Mfuko wa Elimu Tanzania unavyofanya kazi nchini katika kusaidia kukuza sekta ya Elimu. toka kulia ni Mhe. Elia G. Kaiyano, Mhe. Peya Mushelenga, Mhe. Juliet Kavetuna, na Mhe. Elma Dienda na Mhe. Reggie Diegaadt. kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa TEA Bi.Rosemary Lulabuka
January 21, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment