Mkazi wa Kimamba Wilayani Kilosa akitoka kuchota maji katika moja ya madimbwi yaliyotuama maji ya mvua kijijini hapo hivi karibuni. Ukosefu wa maji safi na salama ya uhakika vijijini hupelekea wananchui wake kunywa maji yeyote wayapatayo jambo ambalo ni hatari kwa afya zao.
Binti umependeza hivyo ulivyo. Usihangaike na mikorogo, unapendeza ukiwa natural.
ReplyDelete