Father Kidevu

KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.

December 05, 2025

WAZIRI WA NISHATI MHE. NDEJEMBI AZINDUA RASMI MITA JANJA

›
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter) yenye lengo la kuboresha na kumrahisishia mteja kufanya ...

DKT. SAMIA SULUHU HASSAN NI RAIS WA VITENDO – WAZIRI MKUU

›
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ni Rais wa vitendo na amethibitisha hayo katika kipindi alichoingoza ...
December 03, 2025

VIJANA WABUNIFU NDIYO WENYE HATMA YA TANZANIA - WAZIRI MKUU

›
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Watanzania wanataka kuiona nchi yao ikifikisha lengo la uchumi wa kati wa dola za Marekani trilioni...
December 01, 2025

DAWA ZA KUFUBAZA MAKALI YA VVU (ARV) ZIPO KWA ASILIMIA 100 NCHINI; WAZIRI LUKUVI

›
Na Mwandishi Wetu-Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Mhe. William V. Lukuvi, amewahak...
November 30, 2025

WAZIRI MKUU AKAGUA UHARIBIFU WA MAHAKAMA YA MWANZO MAJI YA CHAI, KITUO CHA MAFUTA CHA TOTAL

›
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Novemba 30, 2025, amekagua Mahakama ya Mwanzo iliyopo Maji ya Chai ambayo iliharibiwa kutokana na vur...

RAIS SAMIA: POLISI WAACHE KUMTAFUTA DKT. GWAJIMA

›
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameliagiza Jeshi la Polisi liache kumtafuta Askofu Dkt. Josephat Gwaj...
November 29, 2025

WAZIRI MAVUNDE AWAASA WAMILIKI WA LESENI ZA UCHIMBAJI MADINI KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA UCHIMBAJI

›
Na Mwandishi Wetu,  Nyang'wale, Geita Waziri wa Madini, Mheshimiwa Anthony Mavunde akiwa ziarani Wilayani Nyang'wale amewaasa na kuw...
November 27, 2025

VIJANA 423 WA MIRERANI & LEMISHUKU WAKABIDHIWA LESENI KUPITIA MRADI WA MBT

›
Na Wandishi wetu, Simanjiro,Manyara Serikali imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kuimarisha ushiriki wa Watanzania katika uchumi wa madini...

UTAFITI WA UANZISHWAJI MGODI MKUBWA WA DHAHABU WAANZA WILAYANI HANANG

›
📍 Manyara Waziri wa Madini, *Mhe. Anthony Mavunde (Mb)*, ametembelea na kushuhudia utekelezaji wa utafiti wa kina wa madini kwa kutumia tek...
›
Home
View web version

TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI

  • Father Kidevu
  • MK
Powered by Blogger.