Father Kidevu

KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.

March 09, 2026

KATIBU MKUU CCM AFUNGUA MAFUNZO YA UONGOZI NA UTAWALA BORA

›
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Asha-Rose Migiro, leo Jumatatu,Machi 9,2026, amefungua rasmi mafunzo maalum ya Uongozi na Uta...

ATAKAYEBAINIKA KUUZA PEMBEJEO FEKI KUFILISIWA-DKT. MWIGULU

›
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali itachukua hatua kali ikiwemo kufilisiwa kwa yeyote anatakayebainika kuhujumu wakulim...

WAHARIRI WAIPONGEZA REA USAMBAZAJI WA GESI ASILIA LINDI,PWANI

›
Na Mwandishi Wetu,Pwani Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) wameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa Nishati...

WANAWAKE WA TFS SAO HILL WAWAFARIJI WATOTO YATIMA MUFINDI

›
Mhifadhi Mkuu wa Shamba la Miti Sao Hill, PCO Tebby Yoramu akiwa anamfariji mtoto wa y atima wa kituo cha Caring from Childhood to Youth kil...

WANANCHI RUKWA KUPATA UMEME WA GRIDI MWEZI MEI 2026-MHE.SALOME

›
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Salome Makamba akizungumza katika Mji wa Laela, Halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga wakati wa ziara ya Waziri M...

PROF. KABUDI AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA 26 WA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE WA JUMUIYA YA MADOLA

›
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Palamagamba J. Kabudi, ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 26 wa Mawaziri wa M...
March 08, 2026

WANAWAKE INEC WASHIRIKI MAANDAMANO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

›
Wanawake kutoka  Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Leo tarehe 08 Machi, 2026 wameshiriki katika maadhimisho ya siku wanawake duniani ambayo ki...

WANAWAKE TUME YA MADINI WASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

›
Na Mwandishi wetu, Dodoma Wanawake kutoka Tume ya Madini Makao Makuu pamoja na Ofisi ya Afisa Madini Mkazi Mkoa wa Dodoma wameungana na wana...
March 07, 2026

DKT. MWIGULU ASISITIZA MAADILI NA UMOJA

›
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba  akizungumza na wananchi mara baada ya kuhudhuria mashindano ya kuhifadhi qur’an Tukufu yaliyofanyika katik...

MHE.SALOME AIBANA KAMPUNI YA DONGFANG KWA KASI ISIYORIDHISHA MRADI WA UMEME MALAGARASI

›
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Salome Makamba leo amekagua utekelezaji wa mradi wa kuzalisha umeme wa Malagarasi (MW 49.5) unaotekelezwa katik...

DKT. MWIGULU ATOA MAJIBU YA MGOGORO WA ARDHI WA MIAKA 22 ENEO LA JESHI MONDULI

›
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa majibu ya mgogoro wa ardhi baina ya wakazi wa Wilaya ya Monduli na Jeshi la Wananchi ambao umedumu t...
›
Home
View web version
Powered by Blogger.