Nafasi Ya Matangazo

July 15, 2024





Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Daniel Sillo ameshiriki Mbio za Mwenge wa Uhuru.

Mbio hizo ambazo zinaongozwa na Kiongozi wa Kitaifa Godfrey Mnzava, zimeanza leo Julai 15, 2024 ambapo utakagua miradi mbalimbali ya Maendeleo.

Mbio za Mwenge wa Uhuru kwa Mwaka 2024 zimebebwa na Kauli Mbiu isemayo;- _*Tunza Mazingira na Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Ujenzi wa Taifa endelevu._







Posted by MROKI On Monday, July 15, 2024 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo