Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Daniel Sillo ameshiriki Mbio za Mwenge wa Uhuru.
Mbio hizo ambazo zinaongozwa na Kiongozi wa Kitaifa Godfrey Mnzava, zimeanza leo Julai 15, 2024 ambapo utakagua miradi mbalimbali ya Maendeleo.
0 comments:
Post a Comment