Nafasi Ya Matangazo

March 24, 2012

Vodacom Foundation leo inataraji kukabidhi mradi wa maji ktk kijiji cha Inyumbu kilicho nyuma ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) mkoani Dodoma.Inadaiwa kuwa Ujenzi wa chuo hicho uliathiri chanzo cha maji katika mto Inyumbu ambao ulikua ndio chanzo kikuu cha maji kwa wakazi 2500 wa kijiji cha Iyumbu.

Posted by MROKI On Saturday, March 24, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo