Nafasi Ya Matangazo

December 07, 2011

Baadhi ya viongozi wa Ma MC, wakiwa katika picha ya pamoja na wanandoa wazee.
Chama cha Washereheshaji wa sherehe mbalimbali nchini, Sherehe Arts Association (SAA) mwishoni mwa wiki iliyopita kilisherehekea sherehe za miaka 50 ya Uhuru kwa kuandaa hafla pamoja na wazee walioko kwenye ndoa kwa muda wa miaka 50 sasa. Sherehe hiyo, ambayo iliongozwa na MC mkongwe na Mlezi wa chama hicho, Mzee Mdachi, ilifanyika kwenye ukumbi wa Lamada Hotel iliyopo ILALA jijini Dar es salaam na kudhaminiwa na TBL kupitia kinywaji chake cha Konyagi.
Wakisakata rhumba mpaka chini
Mzee Makasy akisalimiana na Mlezi wa SAA, Mzee Mdachi (kulia)
Mzee Makassy na mwanae Makasy Jr wakiburudisha wagani waalikwa
Mzee Isaya Nzibukila akilisha keki mkewe Bi. Mariyon katika sherehe hiyo. Wazee hawa wako kwenye ndoa kwa muda wa miaka 53 sasa!
Bi. Angelina Itumbaki akimlisha keki mumewe Laurian Itumbaki katika sherehe hiyo. Wazee hawa wako kwenye ndoa kwa muda wa miaka 52 sasa!
Mama Henjewele akimtunza Makasy wakati akitoa burudani
Baadhi ya Ma MC wakifurahia muziki ulioimbwa na Makasy maalum kukipongeza chama cha Ma MC
Posted by MROKI On Wednesday, December 07, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo